Aina Za Silabi.
Silabi ni mpigo mmoja wa sauti.Kuna aina mbili kuu za silabi katika lugha ya Kiswahili.
Aina ya kwanza huitwa silabi huru/wazi.Silabi hii mara nyingi huishia kwa irabu.Sauti za silabi hii husikika kwa nguvu.Mifano ya maneno yenye silabi hii ni kama vile lala,Ndaki, sebule n.k
Ya pili inajulikana kama silabi funge.Hii silabi nayo hishia kwa konsonanti.Mifano ya maneno yenye silabi hii ni maneno yaliyokopwa mathalani labda, alhamisi n.k.