Shairi la Arudhi.
Safiri Salama Rais Mstaafu Moi.
Huzuni ‘nayo Moyoni, sisi Kama wanakenya
Alfajiri huzuni,baba Moi kafariki
Tutakutia wazoni, Ni mengi uliyatenda
Rais mstaafu Moi,safiri salama uko
Hatuna pia matata,kila kitu ni bayana
Hulikataa ka’kata,kutenganisha wakenya
Wanakenya tulidata,Moi kaboresha kenya
Rais mstaafu Moi, Safiri Salama uko
Mashule uliyajenga, mazahanati tunayo
Wakenya hata makanga ,maziwa nyayo wakanywa
Barabara alijenga,maendeleo kafanya
Raise mstaafu Moi, Safiri Salama
Uko
(bosiredaniel12@gmail.com)