Msamiati wa vikembe.
Vikembe ni watoto/wana wa viumbe mbalimbali.Hapa tumechagua baadhi tu ya wanyama ili kuangazia vikembe vyao kama ifuatavyo.
- Mchwa-Kichuguu
- Ng’ombe-Ndama
- Simba-Shimbli
- Sungura-Kitungule
- Papa-Kinengwe
- Kipepeo-Kiwavi
- Punda na Farasi-Nyumbu
- Nyuki-Jana
- Ndege-Kinda
- Kuku-Kifaranga
- Nzige-Maige/Funutu/KimatuTunutu
- Chura/Mbu-Kiluwiluwi
- Punda-Kihongwe
- Mdudu-King’onyo
- Nge-Kisuse
- Jicho-Kingo
- Mbwa-Kilebu/Kelbu
- Nguruwe-Kivinimbi
- Nyani-Kigunge
- Nyangumi-Chengo
- Paka-Kinyaunyau
- Mbuzi-Kimeme/Kibuli
- Suri/Chotara-Mtoto kati ya wazazi wawili wenye rangi tofauti.K.m Mzungu na mwafrika.
- Meza-Saraka/Jarari/Athiari
- Mamba-Kigwena
- Farasi-Kitekli
- Fisi-Chongole/Kikuto/Kisuli
- Ngamia-Nirigi/Nirihi
- Mbweha-Nyamawa
- Ndovu-Kidanga
- Kondoo-Kibebe/Karama
- Samaki-Kichengo
- Nyoka-Kinyemere
- Mjoli-Mtoto wa mtumwa
Make more vikembe on this page
LikeLike